• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Jengo la Chuo cha Taifa cha Ulinzi

Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Jengo la Chuo cha Taifa cha Ulinzi Posted On: Sunday, 14th November 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua jengo jipya la Chuo Cha Ulinzi cha Taifa(NDC) kilichopo Kunduchi jijini Dar es Salaam. Tarehe 14 Novemba 21 Mhe. Rais alizindua jengo hilo ambalo limejengwa kwa ufadhili wa serikali ya China kwa gharama ya shilingi bilioni 57.

Akizindua jengo hilo Mhe. Rais Samia alisema ujenzi wa chuo hicho umelisaidia jeshi na taifa kwa kuokoa fedha nyingi zilizotumika kusomesha wanafunzi nje ya nchi kwa gharama kubwa, hivyo serikali itaelekeza fedha hizo kwenye shughuli za maendeleo.

“Pamoja na kupata majengo tunatakiwa kuboresha elimu katika sekta ya ulinzi na usalama nchini, sambamba na mitaala na mbinu za utoaji mafunzo kuendana na wakati kukidhi mahitaji ya fani husika” alisema Mhe Rais.

Aidha, Rais Samia ameishukuru serikali ya Watu wa china kwa msaada wa majengo hayo ambayo yatasaidia kuongeza idadi ya wadahiliwa, na kutoa fursa kwa chuo kuendesha kozi Zaidi.

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.