• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni Posted On: Saturday, 17th April 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 386 leo tarehe 17 Aprili 2021 katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Maafisa hao wamegawanyika katika makundi matatu; Kundi la kwanza ni Maafisa Wanafunzi 143 wa Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ambao wamefanya mafunzo kwa miaka mitatu; kundi la pili ni Maafisa Wanafunzi 226 ambao wamefanya mafunzo ya mwaka mmoja. Makundi hayo mawili yamefanya mafunzo yake katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Military Academy). Kundi la mwisho la Maafisa Wanafunzi 17 ambao wamefanya mafunzo yake katika nchi rafiki ambazo ni Burundi, China, India, Kenya, Marekani, Morocco na Ujerumani.

Aidha, baada ya kamisheni Mheshimiwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu ametunuku Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Kijeshi kwa wahitimu wa Shahada hiyo inayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli kwa kushirikiana na Chuo cha Uhasibu Arusha (Institute of Accountancy Arusha). Shahada hiyo inatolewa kwa mara ya kwanza na Chuo hicho tangu kuanzishwa kwake.

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.