Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujeng Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax Leo Tarehe 29 September, 2025 ameweka jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Magari ya Kijeshi utakaofanywa kwa ubia kati ya Kampuni ya Streit Group toka Falme za Kiarabu(UAE) na Shirika la TATC Nyumbu Kibaha Pwani.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.