• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

TANZIA

TANZIA Posted On: Friday, 4th May 2018

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo anasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Dagobert Komba (Mstaafu)kilichotokea tarehe 29 April 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo jijini Dar es salaam.

Marehemu Brigedia Jenerali Komba (mstaafu) alizaliwa mwaka 1949 mkoani Ruvuma. Alijiunga na JWTZ mwaka 1971 na kutunukiwa kamisheni mwaka 1973. Wakati wa utumishi wake Marehemu Brigedia Jenerali Komba (mstaafu) alishika madaraka mbalimbali. Hadi anastaafu alikuwa Mkuu wa Tawi la Mipango na Maendeleo Jeshini(SPD).

Marehemu Brigedia Jenerali Komba(mstaafu) aliagwa tarehe 2 Mei, 2018 katika hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo na kusafirishwa kwenda Mbinga mkoani Ruvuma kwa mazishi yatakayofanyika leo tarehe 04 Mei 2018

Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina

Habari Mpya

  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea siku 2
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 2
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.