• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Uchaguzi Umekwisha - Dkt. Magufuli

Uchaguzi Umekwisha - Dkt. Magufuli Posted On: Thursday, 5th November 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha pili cha miaka mitano ijayo leo Novemba 5, 2020 wakati wa sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Akizungumza na wananchi wa Tanzania akiwa katika uwanja wa Jamhuri, Dkt. Magufuli amesisitiza kuilinda Amani tulionayo na kuendelea kufanya kazi ili kuleta maendeleo “Uchaguzi sasa umekwisha, jukumu kubwa na muhimu lililo mbele yetu ni kuendeleza jitihada za kulijenga na kuleta maendeleo kwa nchi yetu” amesema Dkt. Magufuli.

Nae Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museven akizungumza wakati wa sherehe hizo amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika Mashariki kuimarisha usalama na kushirikiana kibiashara.

Habari Mpya

  • Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    tokea masaa 17
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea siku 4
  • Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    tokea mwezi 1
  • Simba International  yakabidhi Hanga

    Simba International yakabidhi Hanga

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.