• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani,

Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani, Posted On: Tuesday, 29th May 2018

Tarehe 29 Mei ni siku ya Walinda Amani ambayo huadhimishwa kila mwaka Duniani kote. Kauli mbiu ya Maadhimisho kwa mwaka huu ni “Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa: Miaka 70 ya Huduma na Kujitoa”.

Tanzania kama mwanachama wa Umoja huo imeadhimisha kumbukumbu hiyo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Augustine Mahiga ambapo alitoa historia ya Tanzania katika ushiriki wake kwenye shughuli hizo na kusema kuwa Tanzania ilianza rasmi kushiriki katika ulinzi wa amani mwaka 2006.

“Hii ni siku maalum kwa Tanzania na Majeshi ya Umoja wa Mataifa ambapo Tanzania ilianza kushiriki Ulinzi wa Amani kuanzia mwaka 2006, ni takribani miaka 12 ya ushiriki wake. Katika muda huo watu walitambua umuhimu wa Tanzania kushiriki kwake katika Ulinzi wa Amani kwa kupeleka Majeshi yetu kwa mara ya kwanza nchini Lebanon” alisema Balozi Mahiga.

Tanzania imekua ikisifika katika shughuli za Ulinzi wa Amani kupitia majeshi yake katika nchi mbalimbali. Mpaka sasa majeshi yetu yapo nchini Sudan katika jimbo la Darfur, Lebanon, Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini.

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.