• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Uzinduzi wa Ujenzi wa Chuo cha Ulinzi

Uzinduzi wa Ujenzi wa Chuo cha Ulinzi Posted On: Tuesday, 16th April 2019

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), leo tarehe 16 Aprili 2019 limefanya Uzinduzi wa ujenzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) kilichopo Kunduchi jijini Dar es Salaam kwa kuweka jiwe la msingi. Mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi huo alikuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dkt. Hussein Mwinyi.

Dkt. Mwinyi amesema kuwa ujenzi wa chuo hicho umekuja baada ya hitajio kubwa la kozi mbalimbali zinazoendeshwa chuoni hapo. Aidha, Chuo hicho kitajengwa na Jeshi la Ukombozi la Watu wa China.

Naye Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo ameishukuru Serikali ya Watu wa Jamhuri ya China kwa msaada wa Ujenzi wa Chuo hicho na kuahidi kuendeleza ushirikiano ulioanzishwa na waasisi wa nchi hizo mbili ambao ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wa Tanzania na Mao Tse-tung wa Jamhuri ya Watu wa China.

Habari Mpya

  • ​Tanzania yatiliana saini na Serikali ya Ujerumani

    ​Tanzania yatiliana saini na Serikali ya Ujerumani

    tokea siku 6
  • Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara Shinyanga

    Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara Shinyanga

    tokea wiki 1
  • Waziri wa Ulinzi na JKT aipongeza Serikali ya UAE

    Waziri wa Ulinzi na JKT aipongeza Serikali ya UAE

    tokea wiki 1
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea wiki 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.