• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

WANADHIMU WAKUU WAFANYA MAKABIDHIANO:

WANADHIMU WAKUU WAFANYA MAKABIDHIANO: Posted On: Monday, 23rd August 2021

Aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania, Balozi Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed leo tarehe 23 Agosti, 2021 amemkabidhi ofisi Mnadhimu Mkuu anayechukua nafasi yake, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule.

Makabidhiano hayo yalifanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo Msalato jijini Dodoma.

Makabidhiano hayo yamefanyika kufuatia uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua na kumuapisha Balozi Luteni Jenerali Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania nchini Uturuki na nafasi yake kuchukuliwa na Luteni Jenerali Mathew Mkingule.

Mapema leo kabla ya makabidhiano kufanyika, Mnadhimu Mkuu mpya Luteni Jenerali Mathew Mkingule alikagua gwaride maalum la mapokezi ikiwa ni ishara ya kumkaribisha kwa cheo na madaraka aliyonayo kwa sasa.

Habari Mpya

  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 2
  • Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    tokea miezi 3
  • Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    tokea miezi 3
  • Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    tokea miezi 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.