• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato Posted On: Tuesday, 15th August 2023

Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Innocent Lugha Bashungwa ametembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi inayojengwa Msalato Jijini Dodoma.

Mhe. Waziri Bashungwa akiwa ameongozana na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi Luteni Jenerali Salum Haji Othman amejionea maendeleo ya ujenzi na kusema kuwa, ujenzi umefikia hatua nzuri na ameridhika na hatua hiyo.

Aidha, Mhe. Waziri amepongeza jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuliwezesha Jeshi kuwa na Hospitali kubwa ambayo itasaidia kuwahudumia Maafisa, Askari, Watumishi wa Umma na wananchi.

Pia, amewapongeza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salum Haji Othman kwa kufanikisha mradi wa Hospitali hiyo.

Ujenzi wa Hospitali hiyo unafadhiliwa na Jeshi la Ujerumani chini ya Shirika la GAFTAG kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Habari Mpya

  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea siku 3
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 2
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.