• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

Zoezi Dragon Fly lafunguliwa Posted On: Saturday, 22nd October 2022

Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Meja Jenerali Shabani Balaghash Mani amefungua rasmi zoezi la Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania lijulikanalo kama Dragon Fly katika Mikoa ya Lindi na Mtwara.

Meja Jenerali Mani amesema zoezi hilo linalenga kuimarisha ulinzi wa anga ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesema hivi sasa Tanzania inaboresha miundombinu yake hivyo haina budi kuilinda kwa gharama yoyote ile.

Zoezi hilo limehusisha zana vita ambazo ni ndege vita, helkopta, makombora ya masafa ya kati, makombora ya masafa mafupi, mizinga ya kutungulia ndege pamoja na zana za uchunguzi ikiwa ni pamoja na rada.

Zoezi hilo ni muendelezo wa mazoezi mbalimbali ya kivita yanayofanyika hapa nchi lengo likiwa ni kuwaimarisha wanajeshi zaidi ili kutimiza majukumu yao ya kiutendaji kwa ueledi zaidi.

Habari Mpya

  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 2
  • Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    tokea miezi 3
  • Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    tokea miezi 3
  • Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    tokea miezi 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.