• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC Posted On: Saturday, 31st May 2025

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda Leo amefungua rasmi Kikao cha 33 cha Mwaka cha Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Jumuhiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinachofanyika jijini Arusha Tanzania.

Jumla ya Wakuu wa Majeshi idadi 12 Miongoni mwa 16 kutoka Nchi Wanachama wa SADC Wameshiriki Kikao hicho ambacho Mwenyekiti wake ni Jenerali Jacob John Mkunda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania.

Ufunguzi huo rasmi uliofanyika leo tarehe 30 Mei 2025 ulitanguliwa na hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Paul Makonda

aliyezungumza na hadhara hiyo akiwakaribisha nchini Tanzania na kufikisha Salamu za Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Daktari Samia Suluhu Hassan.

Kufanyika kwa Mkutano huo hapa nchini ni kufuatia kuchaguliwa kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi August 2024 kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC.

Kutokana na Uteuzi huo, Mkuu wa Majeshi Tanzania alichukua nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Kikao cha Wakuu wa Majeshi na Mwenyeji wa Kikao hicho.

Pamoja na ajenda zingine, Kikao hicho kimepokea na Kujadiri masuala yote yahusuyo Ulinzi na Usalama Katika Kanda Kwa Kipindi Cha Mwaka mmoja kuanzia Mei 2024 hadi Mei 2025.

Habari Mpya

  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea siku 1
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 4
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.