Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14 wa Jeshi hilo waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.
Miili hiyo imepokelewa katika uwanja wa ndege wa Jeshi hilo ambapo Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mhe.Dkt. Hussein Mwinyi aliongoza mapokezi hayo
Aidha, Waziri Mwinyi amesema, JWTZ bado liko imara na litaendelea kutekeleza jukumu la Ulinzi wa Amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.