• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake Posted On: Saturday, 1st September 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) katika juhudi zake za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini hususan Jiji la Dar es salaam nakutaka kuendelezwa juhudi hizo ili kutokomeza maradhi ya maambukizi nchini.

Amesema kambi ya Lugalo imekuwa mfano mzuri kwa Raia na wageni kwa jinsi walivyofanikiwa kutunza mazingira na maua na kutaka taasisi zingine kuiga mfano huo

Mapema Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo akimkaribisha Mh. Makonda amewataka Wananchi wanaotumia uwanja wa Mwenge kufanyia biashara ya vinyago kuboresha vibanda vyao ili vionekane na hadhi inayoendana na biashara yao kwani wateja wao wengi ni kutoka nje ya nchi na pia kukumbushia kutunza mazingira ya eneo hilo.

Sherehe hizo zilipambwa na michezo mbalimbali kama mpira wa miguu, maonesho ya mbwa, mazingaombwe na burudani kutoka vikundi mbalimbali ikiwa ni maadhimisho ya miaka 54 tokea kuundwa kwa JWTZ.

Habari Mpya

  • Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    tokea wiki 2
  • Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    tokea mwezi 1
  • Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    tokea mwezi 1
  • Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 7
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea mwaka 1
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.