Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa ameongozana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda (Kulia) pamoja na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Meja Jenerali Ibrahim Mhona (kushoto) wakati alipowasili kuwa Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Kozi ya 11 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) yaliofanyika katika chuo hicho kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai 2023.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.