Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali Nelson Hosea Msanja (Mstaafu) leo tarehe18 Septemba, 2020 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.
Mnadhimu Mkuu wa JWTZ amewaongoza, Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma katika shughuli za kuuaga mwili wa marehemu.
Aidha, Wakuu wa Majeshi na Wanadhimu Wakuu wastaafu wa JWTZ walihudhuria pia na kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.