Meli maalum ya kijeshi ya Jamhuri ya Watu wa China imewasili nchini jana Novemba 19, 2017 kwa ziara ya siku saba ikiwa na lengo la kutoa huduma za afya bure kwa wananchi wa Tanzania. Huduma hizo zitatolewa ndani ya meli na madaktari kutoka China.
Aidha,madaktari hao watatembelea hospitali mbalimbali hapa nchini ikiwemo hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Amana na nyinginezo kwa dhumuni la kubadilishana uzoefu.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.