Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali James Mwakibolwa (Kushoto) akimkabidhi zawadi ya nembo ya JWTZ ndugu Leopold Shayo kwa niaba ya ujumbe kutoka Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala bora (Hawapo pichani) walipotembelea Makao Makuu ya JWTZ,Upanga jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.