Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini Brigedia Jenerali Alfred Kapinga ameongea na vyombo vya habari leo kuhusu zoezi la Ushirikiano Imara (CP EXERCISE) linalohusisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwemo Burundi, Kenya,Rwanda,Tanzania na Uganda. Ambapo hapo awali zoezi hilo lilifanyika nchini Kenya na lilijulikana kwa jina la Mbinu za Medani.
Zoezi la Ushirikiano Imara linatarajiwa kufunguliwa rasmi tarehe 07 Desemba 2017, katika Chuo cha Ulinzi wa Amani (PTC) kilichopo kunduchi jijini Dar es Salaam.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.