• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Watanzania washerehekea miaka 60 ya Uhuru

Watanzania washerehekea miaka 60 ya Uhuru Posted On: Thursday, 9th December 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan amewaongoza watanzania kwa kusherehekea miaka 60 ya Uhuru katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Mara baada ya kuingia uwanjani Rais na Amiri Jeshi Mkuu alipigiwa mizinga 21 ya utii na kukagua gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili yake kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Jeshi la Kujenga Taifa, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza na Jeshi la Uhamiaji.

Sherehe hizo zilizofana zilipambwa na maonesho mbalimbali ya zana vita za JWTZ, pamoja na maonesho ya uokoaji kutoka vikundi maalum vya JWTZ kwa kutumia helikopta.

Sherehe hizo zilihudhuriwa na Marais, Wakuu wa Nchi na wawakilishi kutoka nchi rafiki za Kenya, Uganda, Malawi, Msumbiji, Visiwa vya Comoro, Oman, Uswatini, Burundi, Afrika Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Habari Mpya

  • Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    tokea wiki 2
  • Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    tokea wiki 2
  • Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    tokea mwezi 1
  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 8
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.