• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • ZOEZI  "USHIRIKIANO IMARA 2022"  LAFUNGWA RASMI.

    ZOEZI "USHIRIKIANO IMARA 2022" LAFUNGWA RASMI.

    tokea mwaka 1

    Zoezi lililoandaliwa kwa kushirikiana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki limefungwa rasmi tarehe 10 June, 2022 ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Rebecca Alitwala Kadaga Makamu wa Kwanza wa Waziri Mkuu wa Uganda na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

    Soma zaidi
  • Washiriki  Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    Washiriki Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    tokea mwaka 1

    Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti akabidhi bendera ya Taifa kwa kikundi kinachokwenda kushiriki zoezi la Ushirikiano Imara 2022 nchini Uganda

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    tokea mwaka 1

    Luteni Jenerali Mathew Mkingule leo tarehe 23 Mei 2022 amefungua Semina ya Wataalamu wa Saikolojia na Masuala ya Jamii iliyoandaliwa na JWTZ.

    Soma zaidi
  • JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    tokea mwaka 1

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, ametoa salamu za rambirambi kwa Wakenya wote kwa kufiwa na Rais mstaafu wa Awamu ya tatu, Mhe. Mwai Kibaki

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Wilson Mbadi awasili nchini kwa ziara ya kikazi

    Soma zaidi
  • GAFTAG NA JWTZ KUIMARISHA USHIRIKIANO  KATIKA MASWALA YA UTAFITI WA ULINZI WA AMANI

    GAFTAG NA JWTZ KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MASWALA YA UTAFITI WA ULINZI WA AMANI

    tokea mwaka 1

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo March 3, 2022 limekabidhiwa Jengo la Utafiti na Kikundi cha Ushauri wa Kiufundi Cha Jeshi la Ujerumani (German Armed Forces Technical Advisory Group - GAFTAG) lililojengwa katika Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax leo February 23, 2022 amekabidhi Leseni za Urubani kwa Maafisa 20 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliomaliza mafunzo yao nchini Afrika Kusini Novemba 2021.

    Soma zaidi
  • Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) ameweka rasmi jiwe la msingi katika uzinduzi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania inayojengwa Msalato Dodoma tukio lililofanyika Alhamisi tarehe 10 Feb 22.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 26
  • 27
  • ›

Habari Mpya

  • Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    tokea wiki 2
  • Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    tokea mwezi 1
  • Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    tokea mwezi 1
  • Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 7
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea mwaka 1
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.