• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Jenerali Mkunda ashiriki Maadhimisho ya Miaka 120 ya Kumbukumbu ya Vita vya Majimaji

    Jenerali Mkunda ashiriki Maadhimisho ya Miaka 120 ya Kumbukumbu ya Vita vya Majimaji

    tokea miezi 9

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amewaongoza maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na maeneo jirani katika Maadhimisho ya Miaka 120 ya Kumbukumbu ya Vita vya Majimaji yaliyofanyika tarehe 27 Februari 25 katika eneo la Makumbusho ya Vita vya Majimaji Mjini Songea.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda akutana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

    Jenerali Mkunda akutana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

    tokea miezi 9

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abass ofisini kwake na kufanya mazungumzo na Kamati ya Ulinzi na Usalama Leo tarehe 27 Februari 2025.

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu asisitiza ushirikiano madhubuti EAC

    Mnadhimu Mkuu asisitiza ushirikiano madhubuti EAC

    tokea miezi 9

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Othman amesisitiza umuhimu wa kuwa na umoja na ushirikiano baina ya wanajumuiya hasa katika nyanja za kiteknolojia ili kukuza viwanda vya nchi wanachama, kuleta ushindani kimataifa

    Soma zaidi
  • Uhusiano kati ya Tanzania na Algeria Umeimarika- Meja Jenerali Nkambi

    Uhusiano kati ya Tanzania na Algeria Umeimarika- Meja Jenerali Nkambi

    tokea miezi 9

    Meja Jenerali Nkambi apokea ujumbe kutoka Jeshi la Algeria unaoongozwa na Brigedia Jenerali Zegrour Sayed Hisham Makao Makuu ya Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi

    Soma zaidi
  • Mhe. Sillo afungua kikao cha Wakuu wa Viwanda

    Mhe. Sillo afungua kikao cha Wakuu wa Viwanda

    tokea miezi 9

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Daniel Baran Sillo amefungua kikao cha Wakuu wa Viwanda na Mashirika ya Kijeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Soma zaidi
  • JWTZ, Marekani wahitimisha zoezi "CUTLASS EXPRESS"

    JWTZ, Marekani wahitimisha zoezi "CUTLASS EXPRESS"

    tokea miezi 9

    JWTZ kwa kushirikiana na Jeshi la Marekani pamoja na Majeshi ya Mataifa mengine 13 wamehitimisha Zoezi la pamoja la Kijeshi la Majini "CUTLASS EXPRESS"

    Soma zaidi
  • Meja Jenerali Gaguti azungumza na RC Kagera

    Meja Jenerali Gaguti azungumza na RC Kagera

    tokea miezi 9

    Mkuu wa Tawi la Utumishi Jeshini Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mheshimiwa Fatma Mwasa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera tarehe 20 Februari 2025.

    Soma zaidi
  • NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea mwaka 1

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya kidato cha nne na kidato cha sita.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 33
  • 34
  • ›

Habari Mpya

  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 1
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea wiki 4
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1
  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.