• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    tokea masaa 12

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amefungua rasmi Mkutano wa 09 wa CDF na Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania unaofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga iliyopo Mkoani Tanga leo tarehe 15 Disemba 2025.

    Soma zaidi
  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea wiki 1

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt Rhimo Nyamsaho amefanya ziara fupi Makao Makuu ya Jeshi Msalato Dodoma leo tarehe 05 Desemba 2025 kwa lengo la kujitambulisha.

    Soma zaidi
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 3

    ​Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni Maafisa 296 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Katika sherehe iliyofanyika katika Chuo cha Kijeshi Monduli mkoani Arusha tarehe 22 Novemba 2025.

    Soma zaidi
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuiongoza Tanzania kwa kipindi cha pili katika sherehe zilizofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba 2025.

    Soma zaidi
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1

    Kikundi cha Polisi Jeshi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinachohudumu kwenye Ulinzi wa Amani nchini Lebanon chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UNIFIL) leo tarehe 24 Oktoba, 2025 kimejumuika na Mataifa mengine yanayoshiriki katika Ulinzi wa Amani

    Soma zaidi
  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea miezi 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda tarehe 09 Oktoba, 2025 alifanya ziara Visiwani Zanzibar na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa hoteli itakayokuwa na hadhi ya nyota tano.

    Soma zaidi
  • Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    tokea miezi 2

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujeng Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax Leo Tarehe 29 September, 2025 ameweka jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Magari ya Kijeshi utakaofanywa kwa ubia kati ya Kampuni ya Streit Group toka Falme za Kiarabu(UAE) na Shirika la TATC Nyumbu Kibaha Pwani.

    Soma zaidi
  • Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    tokea miezi 2

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Septemba, 2025 amemkabidhi Sajini taji Alphonce Simbu zawadi ya nyumba baada ya kushinda kwenye mashindano ya mbio za Dunia kwa umbali wa kilomita 42 zilizofanyika nchini Japan.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 33
  • 34
  • ›

Habari Mpya

  • Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    tokea masaa 12
  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea wiki 1
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 3
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.