• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea siku 5

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda tarehe 09 Oktoba, 2025 alifanya ziara Visiwani Zanzibar na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa hoteli itakayokuwa na hadhi ya nyota tano.

    Soma zaidi
  • Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    tokea wiki 2

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujeng Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax Leo Tarehe 29 September, 2025 ameweka jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Magari ya Kijeshi utakaofanywa kwa ubia kati ya Kampuni ya Streit Group toka Falme za Kiarabu(UAE) na Shirika la TATC Nyumbu Kibaha Pwani.

    Soma zaidi
  • Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    tokea wiki 2

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Septemba, 2025 amemkabidhi Sajini taji Alphonce Simbu zawadi ya nyumba baada ya kushinda kwenye mashindano ya mbio za Dunia kwa umbali wa kilomita 42 zilizofanyika nchini Japan.

    Soma zaidi
  • Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    tokea wiki 3

    ​Mshindi wa medali ya dhahabu katika Mashindano ya Marathoni ya Dunia yaliyofanyika Tokyo Japan Sajini Alphonce Simbu amepokelewa kishujaa na Serikali kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    tokea mwezi 1

    Timu za Ngome zinazomilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania zimezidi kung'ara katika mashindano ya Michezo mbalimbali ya Majeshi (BAMMATA) ambayo yanafanyika mjini Zanzibar.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi  Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    tokea mwezi 1

    ​‎Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda leo tarehe 12 Septemba 2025 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Shule ya Polisi Jeshi katika kijiji cha Mkanzaule Wilaya ya Mafinga Mkoani Iringa.

    Soma zaidi
  • Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    tokea mwezi 1

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezindua Mashindano ya Michezo ya Majeshi BAMMATA kwa mwaka wa 2025, ambayo yanafanyika mjini Zanzibar.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    tokea miezi 3

    ​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Eisa Saif Mohamed Bin Ablan Almazrouei amefanya ziara ya kikazi nchini Tanzania leo tarehe 14 Julai 2025.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 32
  • 33
  • ›

Habari Mpya

  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea siku 5
  • Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    tokea wiki 2
  • Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    tokea wiki 2
  • Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    tokea wiki 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.