Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amefungua rasmi Mkutano wa 09 wa CDF na Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania unaofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga iliyopo Mkoani Tanga leo tarehe 15 Disemba 2025.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt Rhimo Nyamsaho amefanya ziara fupi Makao Makuu ya Jeshi Msalato Dodoma leo tarehe 05 Desemba 2025 kwa lengo la kujitambulisha.
Soma zaidi​Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni Maafisa 296 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Katika sherehe iliyofanyika katika Chuo cha Kijeshi Monduli mkoani Arusha tarehe 22 Novemba 2025.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuiongoza Tanzania kwa kipindi cha pili katika sherehe zilizofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba 2025.
Soma zaidiKikundi cha Polisi Jeshi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinachohudumu kwenye Ulinzi wa Amani nchini Lebanon chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UNIFIL) leo tarehe 24 Oktoba, 2025 kimejumuika na Mataifa mengine yanayoshiriki katika Ulinzi wa Amani
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda tarehe 09 Oktoba, 2025 alifanya ziara Visiwani Zanzibar na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa hoteli itakayokuwa na hadhi ya nyota tano.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la kujeng Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax Leo Tarehe 29 September, 2025 ameweka jiwe la Msingi katika Kiwanda cha kuzalisha Magari ya Kijeshi utakaofanywa kwa ubia kati ya Kampuni ya Streit Group toka Falme za Kiarabu(UAE) na Shirika la TATC Nyumbu Kibaha Pwani.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Septemba, 2025 amemkabidhi Sajini taji Alphonce Simbu zawadi ya nyumba baada ya kushinda kwenye mashindano ya mbio za Dunia kwa umbali wa kilomita 42 zilizofanyika nchini Japan.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.