Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania wenye Taaluma Adimu.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amehitimisha mafunzo ya Askari wapya katika Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi iliyopo Kihangaiko, Msata Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, leo tarehe 29 Aprili 2025.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amehitimisha mafunzo ya Askari wapya katika Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi iliyopo Kihangaiko, Msata Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani, leo tarehe 29 Aprili 2025.
Soma zaidiMkuu wa Kamandi ya Vikosi Chini ya Makao Makuu ya Jeshi Meja Jenerali Iddi Nkambi kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi John Mkunda amekutana na Kufanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Akiba Kutoka Nchini Uganda
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kupitia Brigedi ya Faru limehitimisha zoezi la medani PIMA UWEZO 2025 lillofanyika Mkoani Shinyanga.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amewapongeza wanamichezo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kufanya vizuri katika michezo mbali mbali ya Kitaifa na Kimataifa kwa kipindi cha robo mwaka kuanzia mwezi Januari hadi Machi 2025 .
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amekabidhiwa Rasmi Hospitali ya Daraja la Nne ya viwango vya Umoja wa Mataifa iliyojengwa kwa Ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Ujerumani leo tarehe 03 Aprili 2025 Msalato Jijini Dodoma.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amehitimisha zoezi la uvishaji nishani kwa kuwavisha Nishani mbalimbali Maafisa na Askari wa JWTZ Kanda ya Mtwara leo tarehe 28 Machi 2025.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.