• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    tokea miaka 2

    ​Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika juhudi zake za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini hususan Jiji la Dar es salaam nakutaka kuendelezwa juhudi hizo ili kutokomeza maradhi ya maambukizi nchini.

    Soma zaidi
  • JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 24 Agosti 2018 limewaaga Majenerali waliostaafu utumishi jeshini.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    tokea miaka 2

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhiwa ukuta wenye urefu wa kilomita 14.4, unaozunguka uwanja wa ndegevita ulioko Ngerengere Mkoani Morogoro .

    Soma zaidi
  • Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) aagwa

    Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) aagwa

    tokea miaka 2

    ​​Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) leo tarehe17 Agosti, 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu)  aagwa.

    Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu) aagwa.

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu) leo tarehe14 Agosti, 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • Waziri Mkuu afungua rasmi Kozi ya Uongozi, NDC

    Waziri Mkuu afungua rasmi Kozi ya Uongozi, NDC

    tokea miaka 2

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMh. Kassimu Majaliwatarehe 13 Agosti, 2018 alifungua rasmi kozi fupi ya tano ya uongozi katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • JWTZ latangaza nafasi kwa Madaktari

    JWTZ latangaza nafasi kwa Madaktari

    tokea miaka 2

    ​Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi kwa wataalamu wa Tiba watakaotoa huduma za afya katika hospitali, vituo vya afya na zahanati za Jeshi hilo.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Utumishi Jeshini awataka wahitimu kutii kiapo chao

    Mkuu wa Utumishi Jeshini awataka wahitimu kutii kiapo chao

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Utumishi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Jenerali Blasius Masanja leo Julai 28,2018 amefunga rasmi mafunzo ya kuruti kundi maalumu la pili.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • ...
  • 15
  • 16
  • ›

Habari Mpya

  • Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    tokea masaa 19
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea siku 4
  • Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    tokea mwezi 1
  • Simba International  yakabidhi Hanga

    Simba International yakabidhi Hanga

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.