• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • CIMIC yaendelea kutoa misaada na vifaa tiba kwa wahitaji Kisiwani Unguja Zanzibar

    CIMIC yaendelea kutoa misaada na vifaa tiba kwa wahitaji Kisiwani Unguja Zanzibar

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kushirikiana na Majeshi ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki limeendelea kutoa misaada ya dawa na vifaa tiba pamoja na vifaa mbalimbali kwa ajili ya hospitali na makundi yenye uhitaji maalum kisiwani Unguja Zanzibar.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Malawi atembelea Tanzania

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Malawi atembelea Tanzania

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Malawi Jenerali Vincent Nundwe leo tarehe 24 Agosti 2022 amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi ya zamani yaliyopo Upanga Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Jacob Mkunda.

    Soma zaidi
  • WABUNGE NA WATUMISHI WA BUNGE 39 WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA

    WABUNGE NA WATUMISHI WA BUNGE 39 WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Utumishi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli amefunga rasmi mafunzo ya JKT kundi maalum la kwa mujibu wa sheria kwa waheshimiwa Wabunge na watumishi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Operesheni Jenerali Mabeyo.

    Soma zaidi
  • JWTZ YAMPOKEA BONDIA SULEMANI KIDUNDA

    JWTZ YAMPOKEA BONDIA SULEMANI KIDUNDA

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 31 Julai 2022 limempokea rasmi bondia kutoka timu teule ya ngumi ya Jeshi Sajinitaji Sulemani Kidunda katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo (mstaafu) aagwa rasmi kwa gwaride maalum

    Jenerali Mabeyo (mstaafu) aagwa rasmi kwa gwaride maalum

    tokea miaka 2

    Aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo (mstaafu) ameagwa rasmi kwa gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili yake.

    Soma zaidi
  • JENERALI MKUNDA AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR

    JENERALI MKUNDA AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR

    tokea miaka 2

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda alipokwenda kumtembelea Ikulu ya Zanzibar tarehe 14 Julai 2022.

    Soma zaidi
  • Mkuu Wa Majeshi  Akabidhiwa Ofisi

    Mkuu Wa Majeshi Akabidhiwa Ofisi

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa mtangulizi wake Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

    Soma zaidi
  • Wanadhimu Wakuu Wafanya Makabidhiano

    Wanadhimu Wakuu Wafanya Makabidhiano

    tokea miaka 2

    Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Salum Haji Othman ameanza kazi rasmi tarehe 04 Julai 2022 baada ya kufanyika makabidhiano na aliyekuwa mtangulizi wake

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.