Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa mtangulizi wake Jenerali Venance Salvatory Mabeyo
Soma zaidiMnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Salum Haji Othman ameanza kazi rasmi tarehe 04 Julai 2022 baada ya kufanyika makabidhiano na aliyekuwa mtangulizi wake
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jenerali Jacob Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi pamoja na Luteni Jenerali Salim Othman kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi amehitimisha mafunzo ya awali ya kijeshi katika Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi RTS Kihangaiko iliyopo eneo la Msata mkoani Pwani
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stagomena Tax leo tarehe 18 Juni 2022 ametunuku Stashahada na Shahada ya Uzamili ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama kwa jumla ya Maafisa 67 waliokua katika Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.
Soma zaidiZoezi lililoandaliwa kwa kushirikiana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki limefungwa rasmi tarehe 10 June, 2022 ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Rebecca Alitwala Kadaga Makamu wa Kwanza wa Waziri Mkuu wa Uganda na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Soma zaidiMeja Jenerali Anthony Chacha Sibuti akabidhi bendera ya Taifa kwa kikundi kinachokwenda kushiriki zoezi la Ushirikiano Imara 2022 nchini Uganda
Soma zaidiLuteni Jenerali Mathew Mkingule leo tarehe 23 Mei 2022 amefungua Semina ya Wataalamu wa Saikolojia na Masuala ya Jamii iliyoandaliwa na JWTZ.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.