Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 31 Julai 2022 limempokea rasmi bondia kutoka timu teule ya ngumi ya Jeshi Sajinitaji Sulemani Kidunda katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Soma zaidiAliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo (mstaafu) ameagwa rasmi kwa gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili yake.
Soma zaidiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda alipokwenda kumtembelea Ikulu ya Zanzibar tarehe 14 Julai 2022.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa mtangulizi wake Jenerali Venance Salvatory Mabeyo
Soma zaidiMnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Salum Haji Othman ameanza kazi rasmi tarehe 04 Julai 2022 baada ya kufanyika makabidhiano na aliyekuwa mtangulizi wake
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jenerali Jacob Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi pamoja na Luteni Jenerali Salim Othman kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi amehitimisha mafunzo ya awali ya kijeshi katika Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi RTS Kihangaiko iliyopo eneo la Msata mkoani Pwani
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stagomena Tax leo tarehe 18 Juni 2022 ametunuku Stashahada na Shahada ya Uzamili ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama kwa jumla ya Maafisa 67 waliokua katika Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.