• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Rais wa Malawi apokewa na mwenyeji wake Dkt. John Magufuli.

    Rais wa Malawi apokewa na mwenyeji wake Dkt. John Magufuli.

    tokea miaka 2

    Rais wa Malawi Dkt. Lazarus Chakwera amefanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini ambapo amepokelewa na mwenyeji wake Dkt. John Pombe Magufuli katika Kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

    Soma zaidi
  • Marehemu Brigedia Jenerali Msanja (mstaafu) aagwa

    Marehemu Brigedia Jenerali Msanja (mstaafu) aagwa

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali Nelson Hosea Msanja (Mstaafu) leo tarehe18 Septemba, 2020 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo anasikitika kutangaza vifo vya Maafisa wa JWTZ

    Soma zaidi
  • JWTZ  lawaaga Majenerali wake

    JWTZ lawaaga Majenerali wake

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo tarehe 21 Agosti 2020 limewaaga Majenerali waliostaafu rasmi utumishi kwa kutimiza umri wa lazima.

    Soma zaidi
  •  Watanzania wamuaga rasmi Hayati Dkt Benjamin William Mkapa

    Watanzania wamuaga rasmi Hayati Dkt Benjamin William Mkapa

    tokea miaka 2

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli amewaongoza Watanzania katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt Benjamin William Mkapa

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo azindua Makao Makuu Mapya ya JKT

    Jenerali Mabeyo azindua Makao Makuu Mapya ya JKT

    tokea miaka 3

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Salvatory Mabeyo leo tarehe 26 Februari 2020 amezindua rasmi Makao Makuu Mapya ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyopo wilaya ya Chamwino mjini Dodoma

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya ZNZ yafana

    Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya ZNZ yafana

    tokea miaka 3

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar yamefanyika katika Uwanja wa Aman, Zanzibar.

    Soma zaidi
  • Amiri Jeshi Mkuu aongoza sherehe za miaka 58 ya Uhuru

    Amiri Jeshi Mkuu aongoza sherehe za miaka 58 ya Uhuru

    tokea miaka 3

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli leo aliungana na watanzania katika sherehe ya kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • ...
  • 25
  • 26
  • ›

Habari Mpya

  • Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    tokea wiki 2
  • Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    tokea wiki 2
  • Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    tokea mwezi 1
  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 8
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.