Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mhe. John Elias Kwandikwa (Mb) amefanya ziara Makao Makuu ya muda ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. John Elias Kwandikwa (Mb) amefanya ziara na kukagua ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa yaliyopo Kikombo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 05 Machi 2021.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Elias Kwandikwa ametiliana saini na Balozi wa Ujerumani nchini Dkt. Regina Hess Mkataba wa Ujenzi wa Hospitali ya Kijeshi Jijini Dodoma.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini,Jenerali Venance Mabeyo leo Februari 15, 2021 amefanya ziara katika Vikosi vilivyopo Kanda ya Shinyanga na kuzungumza na Maafisa na Askari.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mh. Elias Kwandikwa ameipongeza Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kusaidia wanawake wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania wanaoshiriki ulinzi wa amani.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo anasikitika kutangaza kifo cha Afisa Mkuu Brigedia Jenerali Francis Xaiver Mbenna (Mstaafu).
Soma zaidiKikosi cha 7 cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania kinachohudumu katika Ulinzi wa Amani Jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC kimehitimisha rasmi majukumu yake na kukabidhi jukumu hilo kwa Kikosi cha nane 8
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Yacoub Mohamed atembelea mradi mkubwa wa kilimo cha Mpunga katika kikosi cha Chita JKT .
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.