Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na Jeshi la Marekani wamefungua Mafunzo Maalum ya kukabiliana na Vitendo vya Uhalifu ikiwemo Ugaidi na Uharamia.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua hospitali ya JWTZ iliyofadhiliwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Jeshi la nchi hiyo (GAFTAG)
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeadhimisha siku ya Mazingira duniani leo tarehe 05 Juni, 2021
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo tarehe 19 Mei 2021 amemteua Brigedia Jenerali Rajabu Nduku Mabele kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa.
Soma zaidiMkuu wa Jeshi la Umoja wa Mataifa linalotekeleza jukumu la ulinzi wa amani chini ya mpango wa amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA), Luteni Jenerali Sidiki Daniel Traore amefanya ziara ya kikazi nchini
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limesema litaendelea kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la Rwanda ili kudumisha amani na ustawi wa maendeleo kwa nchi zote mbili.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 386 leo tarehe 17 Aprili 2021 katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika makaburi ya familia nyumbani kwake wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.