• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    tokea miezi 4

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax leo February 23, 2022 amekabidhi Leseni za Urubani kwa Maafisa 20 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliomaliza mafunzo yao nchini Afrika Kusini Novemba 2021.

    Soma zaidi
  • Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    tokea miezi 4

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) ameweka rasmi jiwe la msingi katika uzinduzi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania inayojengwa Msalato Dodoma tukio lililofanyika Alhamisi tarehe 10 Feb 22.

    Soma zaidi
  • JWTZ NA JESHI LA MAREKANI KUBADILISHANA UZOEFU

    JWTZ NA JESHI LA MAREKANI KUBADILISHANA UZOEFU

    tokea miezi 5

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani leo Januari 28, 2022. Yamefungua zoezi la pamoja kwa Maafisa na Askari wa vikundi maalum wa majeshi hayo.

    Soma zaidi
  • Luteni Jenerali Methew Mkingule atembelea Mpaka wa Kusini na Msumbiji

    Luteni Jenerali Methew Mkingule atembelea Mpaka wa Kusini na Msumbiji

    tokea miezi 5

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Methew Mkingule amefanya ziara ya kikazi ya kukagua Mipaka ya Kusini na kutembelea Kikundi cha Askari wa Tanzania walioko katika Umoja wa nchi za Kusini mwa Afrika nchini Musmbiji (SADC Mission in Mozambique).

    Soma zaidi
  • JWTZ wavishwa Nishani Dodoma

    JWTZ wavishwa Nishani Dodoma

    tokea miezi 5

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amewavisha Nishani Maafisa na Askari wa JWTZ.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo awatakia Heri ya Mwaka Mpya

    Jenerali Mabeyo awatakia Heri ya Mwaka Mpya

    tokea miezi 5

    ​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jeneral Venance Salvatory Mabeyo amewatakia Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma Jeshini heri ya mwaka mpya

    Soma zaidi
  • Watanzania washerehekea miaka 60 ya Uhuru

    Watanzania washerehekea miaka 60 ya Uhuru

    tokea miezi 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan amewaongoza watanzania kwa kusherehekea miaka 60 ya Uhuru katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • JWTZ  latahadharisha wanaofanya utapeli

    JWTZ latahadharisha wanaofanya utapeli

    tokea miezi 6

    ​Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya vitendo vya utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu kuwarubuni vijana wanaotaka kujiunga na JWTZ kwa kupokea fedha zao.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 22
  • 23
  • ›

Habari Mpya

  • Jenerali Mabeyo Ahitimisha Mafunzo

    Jenerali Mabeyo Ahitimisha Mafunzo

    tokea siku 2
  • 67 WAHITIMU CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU

    67 WAHITIMU CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU

    tokea wiki 1
  • ZOEZI  "USHIRIKIANO IMARA 2022"  LAFUNGWA RASMI.

    ZOEZI "USHIRIKIANO IMARA 2022" LAFUNGWA RASMI.

    tokea wiki 2
  • Washiriki  Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    Washiriki Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 5
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 5
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.