• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda awapongeza wanamichezo

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda awapongeza wanamichezo

    tokea miezi 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amewapongeza wanamichezo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kufanya vizuri katika michezo mbali mbali ya Kitaifa na Kimataifa kwa kipindi cha robo mwaka kuanzia mwezi Januari hadi Machi 2025 .

    Soma zaidi
  • JWTZ lajivunia Ushirikiano na Jeshi la Ujerumani

    JWTZ lajivunia Ushirikiano na Jeshi la Ujerumani

    tokea miezi 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Jacob John Mkunda amekabidhiwa Rasmi Hospitali ya Daraja la Nne ya viwango vya Umoja wa Mataifa iliyojengwa kwa Ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Ujerumani leo tarehe 03 Aprili 2025 Msalato Jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • ​Jenerali Mkunda ahitimisha zoezi la uvishaji Nishani

    ​Jenerali Mkunda ahitimisha zoezi la uvishaji Nishani

    tokea miezi 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amehitimisha zoezi la uvishaji nishani kwa kuwavisha Nishani mbalimbali Maafisa na Askari wa JWTZ Kanda ya Mtwara leo tarehe 28 Machi 2025.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda avisha Nishani Kanda ya Mbeya

    Jenerali Mkunda avisha Nishani Kanda ya Mbeya

    tokea miezi 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Maafisa na Askari wa JWTZ jijini Mbeya leo tarehe 26 Machi 2025.

    Soma zaidi
  • Luteni Jenerali Othman ateta na Mkuu wa Jeshi la Nchi Kavu wa Afrika Kusini

    Luteni Jenerali Othman ateta na Mkuu wa Jeshi la Nchi Kavu wa Afrika Kusini

    tokea miezi 2

    Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othman amempokea na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Nchi Kavu la Afrika ya Kusini Luteni Jenerali Sizakele Charmin Mbatha ofisini kwake Upanga Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Machi 2025.

    Soma zaidi
  • ​JWTZ Yahitimisha Mafunzo ya Soka la Ufukweni

    ​JWTZ Yahitimisha Mafunzo ya Soka la Ufukweni

    tokea miezi 3

    Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Brigedia Jenerali Simon Pigapiga amefunga rasmi mafunzo ya Mchezo wa Soka la Ufukweni yaliyoendeshwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

    Soma zaidi
  • Kamati ya Bunge yakagua Ujenzi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa

    Kamati ya Bunge yakagua Ujenzi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa

    tokea miezi 3

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imefanya ziara kutembelea ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, Dodoma leo tarehe 12 Machi 2025 na kupongeza mafanikio yaliyofikiwa.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda ateta na Balozi wa India nchini Tanzania

    Jenerali Mkunda ateta na Balozi wa India nchini Tanzania

    tokea miezi 3

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India hapa nchini Mhe. Bishwadip Dey ofisini kwake Msalato Jijini Dodoma leo tarehe 10 Machi 2025

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.