• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Waziri wa Ulinzi na JKT Atembelea Kamandi ya Wanamaji

    Waziri wa Ulinzi na JKT Atembelea Kamandi ya Wanamaji

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax amefanya ziara ya kutembelea Makao Makuu ya Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Tanzania yaliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam tarehe 12 Octoba 21

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT aitembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Waziri wa Ulinzi na JKT aitembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo tarehe 28 Septemba 2021 ameitembelea Makao Makuu ya Jeshi yaliyopo Msalato, jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu atembelea Vikosi na Shule

    Mnadhimu Mkuu atembelea Vikosi na Shule

    tokea mwaka 1

    ​Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Methew Mkingule amefanya ziara katika vikosi vilivyopo mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • Wizara ya Ulinzi na JKT yapata Waziri mpya

    Wizara ya Ulinzi na JKT yapata Waziri mpya

    tokea mwaka 1

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri ambapo tarehe 13 Septemba, 2021 amemuapisha Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

    Soma zaidi
  • Mafunzo Maalum ya Kupambana na Vitendo vya Uhalifu Duniani Yahitimishwa

    Mafunzo Maalum ya Kupambana na Vitendo vya Uhalifu Duniani Yahitimishwa

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Mafunzo na Utendaji Kivita wa Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi amehitimisha rasmi mafunzo maalum ya kupambana na vitendo vya uhalifu vinavyojitokeza kwenye mataifa mbalimbali duniani

    Soma zaidi
  • WANADHIMU WAKUU WAFANYA MAKABIDHIANO:

    WANADHIMU WAKUU WAFANYA MAKABIDHIANO:

    tokea mwaka 1

    Aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania, Balozi Luteni Jenerali Yacoub Hassan Mohamed leo tarehe 23 Agosti, 2021 amemkabidhi ofisi Mnadhimu Mkuu anayechukua nafasi yake, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule.

    Soma zaidi
  • JWTZ LAPATA MNADHIMU MKUU MPYA

    JWTZ LAPATA MNADHIMU MKUU MPYA

    tokea mwaka 1

    Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Meja Jenerali Mathew Edward Mkingule kuwa Luteni Jenerali na kumteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania.

    Soma zaidi
  • JKT kukutana na Ngome kwenye fainali

    JKT kukutana na Ngome kwenye fainali

    tokea mwaka 1

    Timu ya mpira wa kikapu ya JKT wanaume yatinga nusu fainali katika mashindano ya BAMMATA yanayoendelea jijini Dodoma

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 24
  • 25
  • ›

Habari Mpya

  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    tokea wiki 2
  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 3
  • Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    tokea miezi 5
  • Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    tokea miezi 5
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 6
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.