Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stagomena Tax leo tarehe 18 Juni 2022 ametunuku Stashahada na Shahada ya Uzamili ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama kwa jumla ya Maafisa 67 waliokua katika Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.
Soma zaidiZoezi lililoandaliwa kwa kushirikiana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki limefungwa rasmi tarehe 10 June, 2022 ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Rebecca Alitwala Kadaga Makamu wa Kwanza wa Waziri Mkuu wa Uganda na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Soma zaidiMeja Jenerali Anthony Chacha Sibuti akabidhi bendera ya Taifa kwa kikundi kinachokwenda kushiriki zoezi la Ushirikiano Imara 2022 nchini Uganda
Soma zaidiLuteni Jenerali Mathew Mkingule leo tarehe 23 Mei 2022 amefungua Semina ya Wataalamu wa Saikolojia na Masuala ya Jamii iliyoandaliwa na JWTZ.
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa JWTZ kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, ametoa salamu za rambirambi kwa Wakenya wote kwa kufiwa na Rais mstaafu wa Awamu ya tatu, Mhe. Mwai Kibaki
Soma zaidiMkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Wilson Mbadi awasili nchini kwa ziara ya kikazi
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo March 3, 2022 limekabidhiwa Jengo la Utafiti na Kikundi cha Ushauri wa Kiufundi Cha Jeshi la Ujerumani (German Armed Forces Technical Advisory Group - GAFTAG) lililojengwa katika Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax leo February 23, 2022 amekabidhi Leseni za Urubani kwa Maafisa 20 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliomaliza mafunzo yao nchini Afrika Kusini Novemba 2021.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.