Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Innocent Lugha Bashungwa atembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi inayojengwa Msalato Jijini Dodoma.
Soma zaidiWahariri wa Habari hapa nchini wametakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa kwa kutokuandika habari zenye uchochezi na uvunjifu wa amani wa Taifa.
Soma zaidiMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa ameongozana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda (Kulia) pamoja na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Meja Jenerali Ibrahim Mhona (kushoto)
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dokta Samia Suluhu Hassan amewaongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika viwanja vya Mashujaa Mtumba Jijini Dodoma.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Innocent Lugha Bashungwa Leo tarehe 17 Juni 2023 ametunuku Shahada ya Uzamili na Shtashahada ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama kwa Maafisa jumla 65 waliokuwa wakisoma kwenye Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salim Haji Othman ameyataka majeshi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuimarisha ulinzi katika kupambana na ugaidi ndani ya nchi zao.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amefunga rasmi zoezi la kivita KAA TAYARI lililokuwa linafanyika katika misitu ya Nyahua Wilayani Sikonge Mkoani Tabora.
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othuman amefungua rasmi kikao cha 20 cha Huduma za Afya kwa Majeshi ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Jijini Arusha.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.