• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Innocent Lugha Bashungwa atembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi inayojengwa Msalato Jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    tokea mwaka 1

    Wahariri wa Habari hapa nchini wametakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa kwa kutokuandika habari zenye uchochezi na uvunjifu wa amani wa Taifa.

    Soma zaidi
  • Makamu wa Rais Dkt. Mpango ashiriki Mahafali ya Kozi ya 11 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC)

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango ashiriki Mahafali ya Kozi ya 11 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC)

    tokea mwaka 1

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa ameongozana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda (Kulia) pamoja na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Meja Jenerali Ibrahim Mhona (kushoto)

    Soma zaidi
  • Rais Dkt. Samia awaongoza Watanzania kuwaenzi Mashujaa

    Rais Dkt. Samia awaongoza Watanzania kuwaenzi Mashujaa

    tokea mwaka 1

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dokta Samia Suluhu Hassan amewaongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika viwanja vya Mashujaa Mtumba Jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Waziri Bashungwa atunuku Shahada ya Uzamili na Shtashahada ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama

    Waziri Bashungwa atunuku Shahada ya Uzamili na Shtashahada ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama

    tokea miaka 2

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Innocent Lugha Bashungwa Leo tarehe 17 Juni 2023 ametunuku Shahada ya Uzamili na Shtashahada ya Mafunzo ya Ulinzi na Usalama kwa Maafisa jumla 65 waliokuwa wakisoma kwenye Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo Duluti Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.

    Soma zaidi
  • Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    tokea miaka 2

    Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salim Haji Othman ameyataka majeshi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuimarisha ulinzi katika kupambana na ugaidi ndani ya nchi zao.

    Soma zaidi
  • Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    tokea miaka 2

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amefunga rasmi zoezi la kivita KAA TAYARI lililokuwa linafanyika katika misitu ya Nyahua Wilayani Sikonge Mkoani Tabora.

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    tokea miaka 2

    Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othuman amefungua rasmi kikao cha 20 cha Huduma za Afya kwa Majeshi ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Jijini Arusha.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    tokea siku 5
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea wiki 1
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea wiki 1
  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.