Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amir Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amekipongeza Chuo cha Taifa cha Ulinzi kwa kuanzisha mitaala mipya ya kuwasaidia viongozi wa Serikali ngazi ya kati.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Msumbiji Admiral Joaquin Rivas Mangrasse amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda wakati wa ziara yake ya kikazi hapa nchini.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kushirikiana na Majeshi ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki limeendelea kutoa misaada ya dawa na vifaa tiba pamoja na vifaa mbalimbali kwa ajili ya hospitali na makundi yenye uhitaji maalum kisiwani Unguja Zanzibar.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Malawi Jenerali Vincent Nundwe leo tarehe 24 Agosti 2022 amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi ya zamani yaliyopo Upanga Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Jacob Mkunda.
Soma zaidiMkuu wa Utumishi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli amefunga rasmi mafunzo ya JKT kundi maalum la kwa mujibu wa sheria kwa waheshimiwa Wabunge na watumishi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Operesheni Jenerali Mabeyo.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 31 Julai 2022 limempokea rasmi bondia kutoka timu teule ya ngumi ya Jeshi Sajinitaji Sulemani Kidunda katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Soma zaidiAliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo (mstaafu) ameagwa rasmi kwa gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili yake.
Soma zaidiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda alipokwenda kumtembelea Ikulu ya Zanzibar tarehe 14 Julai 2022.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.