Mnadhimu Mkuu wa JWTZ kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, ametoa salamu za rambirambi kwa Wakenya wote kwa kufiwa na Rais mstaafu wa Awamu ya tatu, Mhe. Mwai Kibaki
Soma zaidiMkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Wilson Mbadi awasili nchini kwa ziara ya kikazi
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo March 3, 2022 limekabidhiwa Jengo la Utafiti na Kikundi cha Ushauri wa Kiufundi Cha Jeshi la Ujerumani (German Armed Forces Technical Advisory Group - GAFTAG) lililojengwa katika Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax leo February 23, 2022 amekabidhi Leseni za Urubani kwa Maafisa 20 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliomaliza mafunzo yao nchini Afrika Kusini Novemba 2021.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) ameweka rasmi jiwe la msingi katika uzinduzi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania inayojengwa Msalato Dodoma tukio lililofanyika Alhamisi tarehe 10 Feb 22.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani leo Januari 28, 2022. Yamefungua zoezi la pamoja kwa Maafisa na Askari wa vikundi maalum wa majeshi hayo.
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Methew Mkingule amefanya ziara ya kikazi ya kukagua Mipaka ya Kusini na kutembelea Kikundi cha Askari wa Tanzania walioko katika Umoja wa nchi za Kusini mwa Afrika nchini Musmbiji (SADC Mission in Mozambique).
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amewavisha Nishani Maafisa na Askari wa JWTZ.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.