• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • ​Waziri wa Ulinzi na JKT atunuku Wahitimu katika Chuo cha Ulinzi wa Taifa

    ​Waziri wa Ulinzi na JKT atunuku Wahitimu katika Chuo cha Ulinzi wa Taifa

    tokea miaka 2

    Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt. Hussein Mwinyi leo Julai 28, 2018 amewatunuku nembo ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania na vyeti kwa ngazi ya Stashahada na Shahada ya Uzamili ya Usalama na Stratejia

    Soma zaidi
  • Siku ya Mashujaa yaadhimishwa Tanzania

    Siku ya Mashujaa yaadhimishwa Tanzania

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo Julai 25,2018 limeadhimisha kumbukizi ya siku ya mashujaa kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii nchini kote.

    Soma zaidi
  • JWTZ kuadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii

    JWTZ kuadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) litaadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii maeneo mbalimbali nchini kesho tarehe 25 Julai, 2018

    Soma zaidi
  • JWTZ yakanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni

    JWTZ yakanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni

    tokea miaka 2

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mtoto aliyepatiwa matibabu ya kuvunjika mkono katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • Rais na Amiri Jeshi Mkuu atunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi.

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu atunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi.

    tokea miaka 2

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli ametunuku kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi.

    Soma zaidi
  • Kikundi cha Ulinzi wa Amani JWTZ chashambuliwa na Waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Kikundi cha Ulinzi wa Amani JWTZ chashambuliwa na Waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    tokea miaka 2

    Kikundi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinachoshiriki Ulinzi wa Amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimeshambuliwa kwa kushtukizwa na kundi la waasi la Siriri katika kijiji cha Dilapoko Kusini Magharibi mwa nchi hiyo tarehe 03 Juni, 2018.

    Soma zaidi
  • Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani,

    Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani,

    tokea miaka 2

    Tarehe 29 Mei ni siku ya Walinda Amani ambayo huadhimishwa kila mwaka Duniani kote. Kauli mbiu ya Maadhimisho kwa mwaka huu ni “Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa: Miaka 70 ya Huduma na Kujitoa”.

    Soma zaidi
  • CDF Cup 2018 yafungwa rasmi

    CDF Cup 2018 yafungwa rasmi

    tokea miaka 2

    Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘CDF CUP’ 2018 yamefungwa rasmi leo Mei 18, 2018 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • ›

Habari Mpya

  • Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    tokea masaa 17
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea siku 4
  • Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    tokea mwezi 1
  • Simba International  yakabidhi Hanga

    Simba International yakabidhi Hanga

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.