• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 7

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan ametunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi 118 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

    Soma zaidi
  • Amiri Jeshi Mkuu Azindua Mkutano wa Makamanda

    Amiri Jeshi Mkuu Azindua Mkutano wa Makamanda

    tokea miezi 7

    Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa tano wa makamanda tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Brigedi ya Chui Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Jengo la Chuo cha Taifa cha Ulinzi

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Jengo la Chuo cha Taifa cha Ulinzi

    tokea miezi 7

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua jengo jipya la Chuo Cha Ulinzi cha Taifa (NDC) kilichopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo azindua kituo cha Burudani

    Jenerali Mabeyo azindua kituo cha Burudani

    tokea miezi 7

    ​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amewataka wakuu wa vikosi vya JWTZ na JKT kuwa wabunifu katika kubuni miradi mbalimbali ya kibiashara ili Kujenga uwezo wa kifedha wa kuhudumia shughuli mbalimbali za Kijeshi ikiwemo Mafunzo ya Vijana.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT Atembelea Kamandi ya Wanamaji

    Waziri wa Ulinzi na JKT Atembelea Kamandi ya Wanamaji

    tokea miezi 8

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax amefanya ziara ya kutembelea Makao Makuu ya Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Tanzania yaliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam tarehe 12 Octoba 21

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT aitembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Waziri wa Ulinzi na JKT aitembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea miezi 9

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo tarehe 28 Septemba 2021 ameitembelea Makao Makuu ya Jeshi yaliyopo Msalato, jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu atembelea Vikosi na Shule

    Mnadhimu Mkuu atembelea Vikosi na Shule

    tokea miezi 9

    ​Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Methew Mkingule amefanya ziara katika vikosi vilivyopo mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • Wizara ya Ulinzi na JKT yapata Waziri mpya

    Wizara ya Ulinzi na JKT yapata Waziri mpya

    tokea miezi 9

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri ambapo tarehe 13 Septemba, 2021 amemuapisha Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 22
  • 23
  • ›

Habari Mpya

  • Jenerali Mabeyo Ahitimisha Mafunzo

    Jenerali Mabeyo Ahitimisha Mafunzo

    tokea siku 2
  • 67 WAHITIMU CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU

    67 WAHITIMU CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU

    tokea wiki 1
  • ZOEZI  "USHIRIKIANO IMARA 2022"  LAFUNGWA RASMI.

    ZOEZI "USHIRIKIANO IMARA 2022" LAFUNGWA RASMI.

    tokea wiki 2
  • Washiriki  Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    Washiriki Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 5
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 5
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.