Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli leo aliungana na watanzania katika sherehe ya kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru.
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Magufuli leo tarehe 25 Novemba 2019 amezindua rasmi jiwe la msingi la ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Kikombo kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt.Hussein Mwinyi (MB) leo tarehe 23 Oktoba 2019 amefungua rasmi kitengo kipya cha matibabu cha kusafisha figo (Dialysis)
Soma zaidiMwenyekiti wa Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limetimiza miaka hamsini na tano (55) tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964. Sherehe hizi hufanyika kila mwaka baada JWTZ kuchukua nafasi ya Jeshi lililokuwa limeanzishwa na Mkoloni likiitwa Tanganyika Riffle.
Soma zaidiAma kweli Kutangulia siyo kufika na Riziki ya Mja haipotei bali huja kwa wakati autakao Mola,
Soma zaidiTakribani ni mwezi mmoja umepita sasa toka Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” imeitoa Harambee Stars
Soma zaidiTimu ya Mpira wa Miguu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.