• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Kikundi cha Ulinzi wa Amani JWTZ chashambuliwa na Waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Kikundi cha Ulinzi wa Amani JWTZ chashambuliwa na Waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    tokea miaka 4

    Kikundi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinachoshiriki Ulinzi wa Amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimeshambuliwa kwa kushtukizwa na kundi la waasi la Siriri katika kijiji cha Dilapoko Kusini Magharibi mwa nchi hiyo tarehe 03 Juni, 2018.

    Soma zaidi
  • Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani,

    Umoja wa Mataifa yaadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani,

    tokea miaka 5

    Tarehe 29 Mei ni siku ya Walinda Amani ambayo huadhimishwa kila mwaka Duniani kote. Kauli mbiu ya Maadhimisho kwa mwaka huu ni “Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa: Miaka 70 ya Huduma na Kujitoa”.

    Soma zaidi
  • CDF Cup 2018 yafungwa rasmi

    CDF Cup 2018 yafungwa rasmi

    tokea miaka 5

    Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘CDF CUP’ 2018 yamefungwa rasmi leo Mei 18, 2018 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo

    Soma zaidi
  • Rais Dkt. John Pombe Magufuli azindua kituo cha Uwekezaji

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli azindua kituo cha Uwekezaji

    tokea miaka 5

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo Mei 17, 2018 amezindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)

    Soma zaidi
  • CDF Cup 2018 yafunguliwa Rasmi

    CDF Cup 2018 yafunguliwa Rasmi

    tokea miaka 5

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harisson Mwakyembe (MB), tarehe 18 May 2018 amefungua rasmi mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF CUP) 2018 katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Waziri Mwakyembe kufungua Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi

    Waziri Mwakyembe kufungua Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi

    tokea miaka 5

    Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Kanali Ramadhani Dogoli amezungumzia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF CUP) utakaofanyika kesho tarehe 8 Mei, 2018 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Mkutano wa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wafanyika Arusha

    Mkutano wa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wafanyika Arusha

    tokea miaka 5

    Mkutano wa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu ushirikiano katika Nyanja ya ulinzi umefanyika Jijini Arusha. Mkutano huo umejadili masuala mbalimbali ili kudumisha ushirikiano.

    Soma zaidi
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea miaka 5

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo anasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Dagobert Komba (Mstaafu)kilichotokea tarehe 29 April 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo jijini Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • ›

Habari Mpya

  • Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    Mkutano wa Wakuu wa Rasilimali Watu wa Jeshi wa Nchi za Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).

    tokea wiki 2
  • Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    Zoezi KAA TAYARI lafungwa

    tokea wiki 2
  • Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    Mnadhimu Mkuu JWTZ Afungua Kikao cha Wakuu wa Tiba kwa Majeshi nchi za SADC

    tokea mwezi 1
  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 8
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.