Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo anasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Dagobert Komba (Mstaafu)kilichotokea tarehe 29 April 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo jijini Dar es salaam.
Soma zaidiSherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimefanyika tarehe 26 Aprili 2018 katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amekutana na Maafisa Wakuu na Maafisa Wadogo wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) tarehe 20 Aprili, 2018 wakati wa 'Happy hour' iliyofanyika katika bwalo la Maafisa Upanga jijini Dar es salaam.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewavisha vyeo Maafisa Wakuu waliopandishwa vyeo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo Aprili 06, 2018 amezindua ukuta uliojengwa kuzunguka migodi ya Tanzanite Mererani mkoani Manyara.
Soma zaidiMkurugenzi wa Habari na Uhusiano na Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) azungumzia uzinduzi wa Ukuta kuzunguka machimbo ya Tanzanite.
Soma zaidiWaziri wa Ulinzi wa Israel Mhe. Avigdor Lieberman amewasili nchini kwa ziara ya kikazi Machi 20, 2018 ambapo leo Machi 21, 2018 amefanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi na JKT.
Soma zaidiMeli Vita za Jeshi la Wanamaji la India zikiongozwa na Vice Admiral Abhay Karve zimewasili nchini tarehe 19 Machi 2019.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.