• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • BAMMATA  kutimua vumbi  tarehe 23 Uwanja wa Uhuru

    BAMMATA kutimua vumbi tarehe 23 Uwanja wa Uhuru

    tokea miaka 6

    Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA), limesema kuwa michezo ya majeshi Tanzania itaanza kutimua vumbi tarehe 23 mwezi huu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Jenerali Venance Mabeyo akutana na Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma

    Jenerali Venance Mabeyo akutana na Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma

    tokea miaka 6

    ​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo leo amekutana na Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma wanaofanya kazi katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani katika kikao kilichofanyika kwenye viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Tanzania na Ethiopia wasaini mkataba wa Kiulinzi

    Tanzania na Ethiopia wasaini mkataba wa Kiulinzi

    tokea miaka 6

    Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania pamoja na Wizara ya Ulinzi ya Ethiopia zimesaini mkataba wa ushirikiano leo Makao Makuu ya JWTZ Upanga jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Mkuu  wa Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu kutoka India atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu kutoka India atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu kutoka nchini India Jenerali Bipin Rawat ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi mapema leo amepokelewa na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo afanya ziara Ruvuma na Lindi

    Jenerali Mabeyo afanya ziara Ruvuma na Lindi

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amefanya ziara mkoani Ruvuma na Lindi kwa kuvitembelea maghala makuu ya kuhifadhia Korosho

    Soma zaidi
  • JWTZ latangaza nafasi kwa Madaktari

    JWTZ latangaza nafasi kwa Madaktari

    tokea miaka 6

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini Madaktari wa Binadamu na fani nyingine za Tiba.

    Soma zaidi
  • Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China wawasili nchini

    Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China wawasili nchini

    tokea miaka 6

    Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China ukiongozwa na Kamisaa wa Siasa katika Idara ya Vifaa, Meja Jenerali Ma Kui umewasili nchini kwa ziara ya kikazi

    Soma zaidi
  • Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara mkoani Rukwa,

    Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara mkoani Rukwa,

    tokea miaka 6

    ​​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amefanya ziara maalum ya kikazi mkoani Rukwa, ambapo leo tarehe 21 Novemba amevitembelea vikundi vya JWTZ vilivyopo pembezoni mwa Ziwa Tanganyika.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.