• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Jenerali Mabeyo awakaribisha nyumbani Maafisa na Askari

    Jenerali Mabeyo awakaribisha nyumbani Maafisa na Askari

    tokea miaka 6

    Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewakaribisha nyumbani Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kundi la Tano la Ulinzi wa Amani (TANZBATT-5)

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge

    Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo afanya ziara kutembelea maeneo ya Selous katika maporomoko ya maji ya mto Rufiji mkoani Pwani

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo Octoba 9 amefanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa (Standard Gauge Railway) unaoendelea nchini. Reli hiyo inaanzia Dar es salaam hadi Dodoma.

    Soma zaidi
  • Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko

    Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko

    tokea miaka 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa Vizimba 9 na Mabwawa 18 ya Samaki aina ya Sato yanayomilikiwa na Kikosi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Mjini Musoma tarehe 6 Septemba 18

    Soma zaidi
  • Zoezi "Utulivu Africa IV CPX 2018" lafungwa rasmi leo

    Zoezi "Utulivu Africa IV CPX 2018" lafungwa rasmi leo

    tokea miaka 6

    Zoezi la Utulivu Africa IV CPX 2018 ambalo lilifanyika kwa muda usiopungua siku kumi tangu kuanza kwake leo tarehe 03 Septemba 18 limefungwa rasmi na Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Uganda Mh. Lt col (rtd) Charles Engola katika viwanja vya Gadafi Jinja nchini Uganda

    Soma zaidi
  • JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    tokea miaka 6

    ​Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika juhudi zake za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini hususan Jiji la Dar es salaam nakutaka kuendelezwa juhudi hizo ili kutokomeza maradhi ya maambukizi nchini.

    Soma zaidi
  • JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    tokea miaka 6

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 24 Agosti 2018 limewaaga Majenerali waliostaafu utumishi jeshini.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhiwa ukuta wenye urefu wa kilomita 14.4, unaozunguka uwanja wa ndegevita ulioko Ngerengere Mkoani Morogoro .

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.