• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • JWTZ kuaga Miili ya Mashujaa kesho Desemba 14, 2017 kuanzia saa 1 asubuhi

    JWTZ kuaga Miili ya Mashujaa kesho Desemba 14, 2017 kuanzia saa 1 asubuhi

    tokea miaka 5

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linategemea kuaga Miili ya Mashujaa wetu waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.

    Soma zaidi
  • Jeshi la  Ulinzi la  Wananchi wa  Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14

    tokea miaka 5

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14 wa Jeshi hilo waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru  yafanyika mjini Dodoma

    Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru yafanyika mjini Dodoma

    tokea miaka 5

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amehutubia mamia ya watanzania leo wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini aongea na waandishi wa habari

    Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini aongea na waandishi wa habari

    tokea miaka 5

    Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini Brigedia Jenerali Alfred Kapinga ameongea na vyombo vya habari leo kuhusu zoezi la Ushirikiano Imara (CP EXERCISE) linalohusisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwemo Burundi, Kenya,Rwanda,Tanzania na Uganda.

    Soma zaidi
  • Majenerali wastaafu waagwa rasmi

    Majenerali wastaafu waagwa rasmi

    tokea miaka 5

    Majenerali 18 wa JWTZ waliostaafu kwa tarehe tofauti mwaka huu, waagwa rasmi leo katika sherehe iliyofanyika kwenye Kambi ya Twalipo Mgulani jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Ujumbe kutoka Jeshi la Jamhuri ya Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania

    Ujumbe kutoka Jeshi la Jamhuri ya Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania

    tokea miaka 5

    Ujumbe kutoka Jeshi la Jamhuri ya Watu wa China ukiongozwa na Naibu Mnadhimu Mkuu Real Admiral Guan Bailin uliowasili na meli maalum ya matibabu nchini Novemba 19, 2017 leo Novemba 22 umemtembelea Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo na kufanya mazungumzo ofisini kwake.

    Soma zaidi
  • Meli maalum ya kijeshi ya Jamhuri ya Watu wa China imewasili nchini

    Meli maalum ya kijeshi ya Jamhuri ya Watu wa China imewasili nchini

    tokea miaka 5

    Meli maalum ya kijeshi ya Jamhuri ya Watu wa China imewasili nchini jana Novemba 19, 2017 kwa ziara ya siku saba ikiwa na lengo la kutoa huduma za afya bure kwa wananchi wa Tanzania.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Burundi afanya ziara Makao Makuu ya Jeshi.

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Burundi afanya ziara Makao Makuu ya Jeshi.

    tokea miaka 5

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Burundi Luteni Jenerali Niyongabo Prime leo Novemba 08, 2017 amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam, ziara hiyo imelenga kudumisha mahusiano yaliyopo baina ya Majeshi ya nchi hizi mbili.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • ›

Habari Mpya

  • Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    Waziri wa Ulinzi na JKT asisitiza mafunzo maalum

    tokea wiki 2
  • Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    Wananchi watakiwa kurejesha Sare za Majeshi

    tokea mwezi 1
  • Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    Waziri akagua Ujenzi wa Hospitali ya Jeshi – Msalato

    tokea mwezi 1
  • Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    Wahariri watakiwa kuimarisha usalama na umoja wa kitaifa

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 7
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea mwaka 1
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.