Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo Julai 25,2018 limeadhimisha kumbukizi ya siku ya mashujaa kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii nchini kote.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) litaadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii maeneo mbalimbali nchini kesho tarehe 25 Julai, 2018
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mtoto aliyepatiwa matibabu ya kuvunjika mkono katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli ametunuku kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi.
Soma zaidiKikundi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kinachoshiriki Ulinzi wa Amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kimeshambuliwa kwa kushtukizwa na kundi la waasi la Siriri katika kijiji cha Dilapoko Kusini Magharibi mwa nchi hiyo tarehe 03 Juni, 2018.
Soma zaidiTarehe 29 Mei ni siku ya Walinda Amani ambayo huadhimishwa kila mwaka Duniani kote. Kauli mbiu ya Maadhimisho kwa mwaka huu ni “Ulinzi wa Amani wa Umoja wa Mataifa: Miaka 70 ya Huduma na Kujitoa”.
Soma zaidiMashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘CDF CUP’ 2018 yamefungwa rasmi leo Mei 18, 2018 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo Mei 17, 2018 amezindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.