• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • TANZIA

    TANZIA

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo anasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali Dagobert Komba (Mstaafu)kilichotokea tarehe 29 April 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo jijini Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano Yafana

    Maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano Yafana

    tokea miaka 7

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimefanyika tarehe 26 Aprili 2018 katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo awakutanisha Maafisa kwenye “Happy Hour”

    Jenerali Mabeyo awakutanisha Maafisa kwenye “Happy Hour”

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amekutana na Maafisa Wakuu na Maafisa Wadogo wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) tarehe 20 Aprili, 2018 wakati wa 'Happy hour' iliyofanyika katika bwalo la Maafisa Upanga jijini Dar es salaam.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi awavisha vyeo Maafisa Wakuu

    Mkuu wa Majeshi awavisha vyeo Maafisa Wakuu

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewavisha vyeo Maafisa Wakuu waliopandishwa vyeo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

    Soma zaidi
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania azindua ukuta.

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania azindua ukuta.

    tokea miaka 7

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo Aprili 06, 2018 amezindua ukuta uliojengwa kuzunguka migodi ya Tanzanite Mererani mkoani Manyara.

    Soma zaidi
  • Msemaji wa Jeshi azungumza na waandishi wa habari.

    Msemaji wa Jeshi azungumza na waandishi wa habari.

    tokea miaka 7

    Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano na Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) azungumzia uzinduzi wa Ukuta kuzunguka machimbo ya Tanzanite.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi wa Israel aitembelea Wizara ya Ulinzi na JKT

    Waziri wa Ulinzi wa Israel aitembelea Wizara ya Ulinzi na JKT

    tokea miaka 7

    Waziri wa Ulinzi wa Israel Mhe. Avigdor Lieberman amewasili nchini kwa ziara ya kikazi Machi 20, 2018 ambapo leo Machi 21, 2018 amefanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi na JKT.

    Soma zaidi
  • Meli vita za India zatia nanga nchini

    Meli vita za India zatia nanga nchini

    tokea miaka 7

    Meli Vita za Jeshi la Wanamaji la India zikiongozwa na Vice Admiral Abhay Karve zimewasili nchini tarehe 19 Machi 2019.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • ›

Habari Mpya

  • Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    tokea siku 4
  • Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi  Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    tokea siku 4
  • Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    tokea wiki 1
  • Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.