JWTZ limeungana na majeshi mengine duniani kuadhimisha siku ya michezo ya majeshi iliyofanyika katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na JKT , Upanga jijini Dar es Salaam
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 15 Februari 2018 amemuapisha Luteni Jenerali Yakubu Mohamed kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Soma zaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli azindua Chuo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi kilichopo Mapinga Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani leo tarehe 06 Februari 2018.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo leo tarehe 06 Februari 2018 amekabidhi bendera ya Taifa kwa Timu ya Golf Lugalo
Soma zaidiRais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli atunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania pamoja na Maafisa kadhaa kutoka nchi Marafiki
Soma zaidiMnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali James Mwakibolwa amewataka Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma wa Jeshi hilo kufanya kazi kwa juhudi, maarifa, nidhamu na weledi wakati wanapotekeleza majukumu yao.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo ametoa salamu za mwaka mpya kwa Wanajeshi wote nchini kupitia watendaji wa Makao Makuu ya JWTZ, Upanga jijini Dar es Salaam.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Miili ya Askari wake waliouwawa nchini DRC leo
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.