• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • JWTZ limeaga miili ya marehemu Koplo Marcelino Pascal Fubusa na Praiveti Venance Moses Chiboni

    JWTZ limeaga miili ya marehemu Koplo Marcelino Pascal Fubusa na Praiveti Venance Moses Chiboni

    tokea miaka 7

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga miili ya marehemu Koplo Marcelino Pascal Fubusa na Praiveti Venance Moses Chiboni, leo tarehe 16 Octoba 2017 katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo.

    Soma zaidi
  • Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)  linasikitika kutangaza vifo vya Askari wake

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza vifo vya Askari wake

    tokea miaka 7

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza vifo vya Askari wake wawili Koplo Maselino Paschal Fabusi na Praiveti Venance Moses Chiboni, ambao walikuwa katika Ulinzi wa Amani nchini DRC.

    Soma zaidi
  • Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar awatunuku Wahitimu wa  Chuo cha Ulinzi wa Taifa

    Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar awatunuku Wahitimu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa

    tokea miaka 7

    Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Idd hivi karibuni alitunuku stashahada na shahada ya uzamili katika mahafali ya tano ya Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) yaliyofanyika Chuoni hapo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Ziara ya Mkuu wa Majeshi ya India Admiral Sunil Lanba  nchini

    Ziara ya Mkuu wa Majeshi ya India Admiral Sunil Lanba nchini

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Majeshi ya India Admiral Sunil Lanba ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi mapema leo amepokelewa na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Jenerali Venance Mabeyo

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa

    Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa

    tokea miaka 7

    Maadhimisho ya siku ya Mashujaa hufanyika kila mwaka tarehe 25 Julai kuwakumbuka mashujaa waliojitolea kupigania haki na uhuru wa Taifa hili.

    Soma zaidi
  • Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania,latoa ufafanuzi juu ya kujiunga na mafunzo ya JKT na ajira za JWTZ

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania,latoa ufafanuzi juu ya kujiunga na mafunzo ya JKT na ajira za JWTZ

    tokea miaka 8

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),linapenda kutoa tahadhari kwa umma juu ya utapeli kuhusu ajira.

    Soma zaidi
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora watembelea JWTZ

    Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora watembelea JWTZ

    tokea miaka 8

    Ujumbe kutoka Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala bora watembelea Makao Makuu ya JWTZ,Upanga jijini Dar es salaam hivi karibuni.

    Soma zaidi
  • Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe afungua rasmi mashindano ya kombe la Mkuu wa Majeshi

    Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe afungua rasmi mashindano ya kombe la Mkuu wa Majeshi

    tokea miaka 8

    Mashindano haya yalianzishwa rasmi mwaka 2014. Lengo la mashindano haya ni kudumisha mshikamano, kuvumbua na kukuza vipaji,

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    tokea masaa 16
  • JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    tokea wiki 1
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea wiki 1
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.