• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Mnadhimu Mkuu wa JWTZ asisitiza kufanya kazi kwa juhudi, maarifa, nidhamu na weledi.

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ asisitiza kufanya kazi kwa juhudi, maarifa, nidhamu na weledi.

    tokea miaka 7

    Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali James Mwakibolwa amewataka Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma wa Jeshi hilo kufanya kazi kwa juhudi, maarifa, nidhamu na weledi wakati wanapotekeleza majukumu yao.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi atoa salamu za Mwaka Mpya

    Mkuu wa Majeshi atoa salamu za Mwaka Mpya

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo ametoa salamu za mwaka mpya kwa Wanajeshi wote nchini kupitia watendaji wa Makao Makuu ya JWTZ, Upanga jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Mashujaa Wetu Waagwa

    Mashujaa Wetu Waagwa

    tokea miaka 7

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Miili ya Askari wake waliouwawa nchini DRC leo

    Soma zaidi
  • JWTZ kuaga Miili ya Mashujaa kesho Desemba 14, 2017 kuanzia saa 1 asubuhi

    JWTZ kuaga Miili ya Mashujaa kesho Desemba 14, 2017 kuanzia saa 1 asubuhi

    tokea miaka 7

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linategemea kuaga Miili ya Mashujaa wetu waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.

    Soma zaidi
  • Jeshi la  Ulinzi la  Wananchi wa  Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14

    tokea miaka 7

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limepokea miili ya mashujaa 14 wa Jeshi hilo waliouwawa wakiwa katika Jukumu la Ulinzi wa Amani nchini DRC hivi karibuni.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru  yafanyika mjini Dodoma

    Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru yafanyika mjini Dodoma

    tokea miaka 7

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amehutubia mamia ya watanzania leo wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini aongea na waandishi wa habari

    Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini aongea na waandishi wa habari

    tokea miaka 7

    Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Utendaji Kivita Jeshini Brigedia Jenerali Alfred Kapinga ameongea na vyombo vya habari leo kuhusu zoezi la Ushirikiano Imara (CP EXERCISE) linalohusisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwemo Burundi, Kenya,Rwanda,Tanzania na Uganda.

    Soma zaidi
  • Majenerali wastaafu waagwa rasmi

    Majenerali wastaafu waagwa rasmi

    tokea miaka 7

    Majenerali 18 wa JWTZ waliostaafu kwa tarehe tofauti mwaka huu, waagwa rasmi leo katika sherehe iliyofanyika kwenye Kambi ya Twalipo Mgulani jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.