• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Tamko la Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Kuhusu Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi 2017.

    Tamko la Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Kuhusu Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi 2017.

    tokea miaka 8

    Mashindano ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF CUP) yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 26 Mei 2017 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Kikao cha Kamati ya utendaji ya Ulinzi na usalama ya Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC)

    Kikao cha Kamati ya utendaji ya Ulinzi na usalama ya Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC)

    tokea miaka 8

    Kikao hicho hufanyika kila mwaka kwa mzunguko ndani ya nchi mwananchama ambapo mwaka huu kimefanyika nchini Tanzania, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Yafana

    Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Yafana

    tokea miaka 8

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimefanyika tarehe 26 Aprili 2017 mjini Dodoma mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

    Soma zaidi
  • Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Uwanja wa ndege vita.

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu azindua Uwanja wa ndege vita.

    tokea miaka 8

    Hivi karibuni Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Tanzania Mhe:Dkt John Pombe Joseph Magufuli amezindua uwanja wa ndege vita uliopo Mkoani Morogoro.

    Soma zaidi
  • Jenerali Venance Salvatory Mabeyo nahodha mpya JWTZ

    Jenerali Venance Salvatory Mabeyo nahodha mpya JWTZ

    tokea miaka 8

    Hafla ya kuapishwa Jenerali Venance Mabeyo ilifanyika ikulu Dar es salaam. Sambamba na kuapishwa Mkuu wa Majeshi pia ameapishwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali James Aloyce Mwakibolwa kushika wadhifa huo uliokuwa unashikiliwa na Jenerali Venance Mabeyo.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Jeshi la Lesotho akutana na mwenyeji wake Jenerali Davis Mwamunyange

    Mkuu wa Jeshi la Lesotho akutana na mwenyeji wake Jenerali Davis Mwamunyange

    tokea miaka 8

    Mkuu wa jeshi la Lesotho, luteni Jenerali Tlali Kamoli na ujumbe wake, ametembelea Makao Makuu ya Jeshi ikiwa ni jitihada ya kudumisha uhusiano kati ya nchi mbili hizi.

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe atembelea JWTZ.

    Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe atembelea JWTZ.

    tokea miaka 8

    Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri atembelea Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • Rais na Amiri Jeshi Mkuu afunga maadhimisho ya miaka 52 ya JWTZ

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu afunga maadhimisho ya miaka 52 ya JWTZ

    tokea miaka 8

    ​Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt.John Pombe Magufuli amefunga maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushuhudia zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' lililofanyika siku ya Ijumaa tarehe 30 Septemba katika Kijiji cha Baatini Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    tokea mwezi 1
  • JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    tokea mwezi 1
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea mwezi 1
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.