Mkuu wa Majeshi huyo alipokelewa na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo na kisha kufanya mazungumzo ofisini kwake
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga miili ya marehemu Koplo Marcelino Pascal Fubusa na Praiveti Venance Moses Chiboni, leo tarehe 16 Octoba 2017 katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza vifo vya Askari wake wawili Koplo Maselino Paschal Fabusi na Praiveti Venance Moses Chiboni, ambao walikuwa katika Ulinzi wa Amani nchini DRC.
Soma zaidiMakamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Idd hivi karibuni alitunuku stashahada na shahada ya uzamili katika mahafali ya tano ya Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) yaliyofanyika Chuoni hapo hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Soma zaidiMkuu wa Majeshi ya India Admiral Sunil Lanba ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi mapema leo amepokelewa na mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Jenerali Venance Mabeyo
Soma zaidiMaadhimisho ya siku ya Mashujaa hufanyika kila mwaka tarehe 25 Julai kuwakumbuka mashujaa waliojitolea kupigania haki na uhuru wa Taifa hili.
Soma zaidiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),linapenda kutoa tahadhari kwa umma juu ya utapeli kuhusu ajira.
Soma zaidiUjumbe kutoka Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala bora watembelea Makao Makuu ya JWTZ,Upanga jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Soma zaidiTanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.